Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Masauni aagiza RPC kushushwa cheo kimoja

Friday , 13th Dec , 2019

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kumshusha cheo kimoja Kamanda wa Polisi wa Kusini Pemba, Hassan Nassir Ali.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni

Kwa mujibu wa Mhandisi Masauni amemuagiza pia Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, kuwaondoa ma RPC wote  wawili kisiwani Pemba kwa makosa ya kushindwa kutekeleza Mradi wa Ujenzi wa Nyumba 16 za makazi ya Polisi, uliozinduliwa mwishoni mwa mwaka 2018 pamoja na kucha mikutano ya siasa ya chama cha ACT Wazalendo, kuendelea kufanyika kisiwani humo ikiwa ni kukaidi agizo la Mkuu wa Nchi.

"Namuagiza IGP awaondoe ma RPC wote Pemba na sio kuwapeleka wakawe ma RPC Mikoa mingine, maana majukumu hayo yamewashinda, pia namuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, amshushe cheo kimoja yule RPC wa Kusini Pemba Hassan Nassir, yeye najua hana uwezo huo sababu si mamlaka yake, lakini mchakato wa mapendekezo unaanzia kwake kwahiyo aanzishe mchakato wa mapendekezo" amesema Mhandisi Masauni.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa