Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama wa Kabendera amuangukia Rais Magufuli

Friday , 13th Dec , 2019

Mama Mzazi wa Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera, anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi, amemuangukia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, na kumuomba amsamehe mwanaye ili arudi nyumbani na kuendelea kumlea.

Mama wa Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera, Verediana Mjwahuzi

Mama Erick Kabendera, anayejulikana kwa jina la Verediana Mjwahuzi, ametoa ombi hilo leo Disemba 13, 2019, na kusema kuwa Erick ndiye mtoto pekee aliyekuwa akimsaidia katika huduma zake za matibabu na kuomba kuwa kama ambavyo Rais Magufuli analea wazazi wake, basi na yeye aangaliae namna ya kumuachia mwanaye.

"Mungu alimzawadia Erick kusudi mimi anitunze na yeye ni mtoto kwa wazazi pamoja na kuwa ni mkubwa lakini cheo chake cha Urais hakimzuii kuwa mtoto wa mtu ana wazazi na anawalea kwahiyo namuomba sana anifikirie, anione nilivyo, nahangaika, maisha yamekuwa magumu, magonjwa dawa sizipati, amruhusu huyu mwanangu na mimi anitunze kama na yeye anavyotunza wazazi wake, watu wanasema mengi dhidi ya mwanangu, naomba hayo wanayomuambia achambue" amesema Mama Erick Kabendera.

Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu, likiwemo la uhujumu uchumi, ukwepaji wa kodi pamoja na kuongoza genge la uhalifu, makosa ambayo anadaiwa kuyatenda kati ya Januari 2015 na Julai 2019, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi