Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda ataka Mbowe ahame Ufipa, ampa ofisi ya CCM

Thursday , 19th Dec , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuwa mara baada ya kukamilisha ujenzi wa Ofisi ya ghorofa moja ya Chama cha Mapinduzi kinondoni, angependa kumpunguzia gharama za kupanga, Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA, Freeman Mbowe na kumhamishia kwenye Ofisi ndogo za CCM wilayani humo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Makonda ameyabainisha hayo leo Disemba 19, 2019, wakati akiweka jiwe la Msingi la ujenzi wa Jengo la ghorofa moja la Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi, Wilaya ya Kinondoni, jengo ambalo linatarajiwa kugharimu kiasi cha Shilingi bilioni 2.

"Badala ya Kaka yangu Mbowe kuendelea kulipa kodi pale Ufipa, basi tumpe hili Jengo dogo ambalo wewe Mwenyekiti wa CCM Kinondoni utaondoka, amekuwepo miaka 15 na bado ni mpangaji na jana wamemchagua tena ataendelea kuwa mpangaji, muachie akae hapa na Wajumbe wake wa Kamati Kuu, wakati anajipanga kwa sababu bado anaendelea kulipa gharama kwenye Ukumbi, badala ya kuwa na jengo lake" amesema Makonda.

Makonda amesema kuwa ujenzi wa ofisi hiyo ni mkakati wake wa kujenga ofisi nyingine kama hizo, kwenye Wilaya zote tano za Mkoa huo kwa lengo la kuhakikisha viongozi wa chama wanafanya kazi katika mazingira bora.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa