Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Nimeshafumaniwa zaidi ya mara 75' - Miss Bella

Friday , 10th Jan , 2020

Mrembo ambaye ni msanii wa filamu na muziki, Miss Bella, amesema tangu amezaliwa kwenye mahusiano yake ameshafumaniwa zaidi ya mara 75, na mwanaume akiwa kwake hawezi kumuacha mpaka yeye atakapoamua.

Picha ya Miss Bella

 

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital, Miss Bella amesema ni kweli ameshafumaniwa mara zote hizo na kwa siku huwa anatongozwa na wanaume 50 hadi 150.

"Mimi nimeshafumaniwa zaidi ya mara 75 tangu nizaliwe, mimi ni Mmakonde mwanaume akiwa kwangu habanduki mpaka niamue mwenyewe  na nimeshapiga sana tu, na kwa siku natongozwa na wanaume 50 hadi 150 kwenye ujumbe wa mtandao wa Instagram, lakini huwa nachagua wa kuwa naye" ameeleza Miss Bella. 

Aidha Miss Bella ameendelea kusema "Kuna muda huwa unavunja mahusiano na mtu wako, na wewe unataka kufanya mapenzi hivyo lazima utafute mtu wa kufanya naye, halafu mimi bado ni binti, msichana kabisa hata miaka 32 sijafika kwahiyo mapenzi ni lazima".

Miss Bella aliwahi kutangaza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwana Hiphop Godzilla, ambapo watu walidai kama anatafuta kiki.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ