Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kuna watu walijua sisi ni viziwi kweli"-Carpoza

Friday , 10th Jan , 2020

Wachekeshaji wanaofanya vizuri kwa sasa hapa nchini Oka Martin na Official Carpoza, wamesema kuna watu walidhani kama wao ni viziwi kweli, kutokana na vichekesho vyao wanavyovifanya kuonesha kuwa ni viziwi.

Oka Martin upande wa kushoto, kulia ni Official Carpoza

Wakipiga stori na EATV & EA Radio Digital, wamesema mawazo ya kuchekesha kama viziwi yalikuja wakati wanapiga stori na mmoja wao akaja na kauli ya 'Unasemaaa' ndipo hapohapo wakaanza kurekodi video na kufanya kama wana matatizo ya kusikia.

"Tulikuwa katika mihangaiko yetu ya stori ikaja ile kauli 'unasemaaa' ndipo ilipozalishwa pale, tukafanya hivyo na bahati nzuri mtaani ikapokelewa vyema, kuna watu wengi waliamini kama sisi ni viziwi, walihisi ni kweli hatusikii vizuri" wamesema Oka Martin na Carpoza.

Wawili hao wameongeza kuwa "Kwa wageni wengi walidhania hivyo ila kwa watu wanaotufahamu tangia mwanzo ilikuwa sio rahisi kujua kama sisi ni viziwi kweli, ukiangalia vichekesho unaweza ukaamini, lakini ukija kwenye ukweli wetu unaona vitu vingine tofauti na utabaki kusema kumbe tunaigiza tu" ameongeza Oka Martin.

Pia wamesema muunganiko wao wa kufanya vichekesho hivyo, ulianzia studio walipokutana kwa sababu kabla ya kuingia kwenye vichekesho walikuwa wanafanya muziki wa HipHop.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala