Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UEFA yamtoa Kante yamuweka Ronaldo, kikosi bora

Thursday , 16th Jan , 2020

Kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa Dail Mail nchini Uingereza, Shirikisho la Soka barani Ulaya UEFA limebadili mfumo wa kikosi cha mwaka kilichopigiwa kura na mashabiki kwa kumtoa Ng'olo Kante na kumuweka Cristiano Ronaldo.

Kikosi bora cha UEFA mwaka 2019, Ng'olo Kante na Cristian Ronaldo

Kikosi hicho kilichopigiwa kura na mashabiki dunia nzima kilitangazwa Jumatano, Januari 15, 2020 kikiwa na mfumo wa 4-2-4, ambapo wachezaji waliotajwa katika kikosi hicho ni Golikipa: Alisson, Walinzi: Trent Alexander-Arnold, Matthijs De Ligt, Virgil Van Dijk na Andy Robertson, Viungo: Frenkie De Jong na Kevin De Bruyne pamoja na Washambuliaji: Lionel Messi, Robert Lewandowski, Cristiano Ronaldo na Sadio Mane.

Inaelezwa kuwa Ronaldo alipata kura chache dhidi ya washambuliaji wenzake, Messi, Lewandowski na Mane na wakuu wa shirikisho hilo hawakuridhishwa na Ronaldo kuachwa kwake, hivyo wakaamua kufanya mabadiliko hayo na kupelekea sintofahamu kubwa.

Inadaiwa kuwa kikosi hicho kilikuwa tayari kutangazwa tangu wiki iliyopita lakini suala la Ronaldo ndilo lililopelekea kucheleweshwa kwa taarifa hiyo kutangazwa

Lakini msemaji wa UEFA akijibu kuhusu mabadiliko hayo amesema, "mabadiliko hayo ya kumtoa Kante na kumuweka Ronaldo yamefanywa kwa kuzingatia mafanikio yake katika michuano ya 'Nations League' na mfumo wa kikosi cha mwaka huu umefanywa ili kuendana na kura zilizopigwa na mashabiki pamoja na mafanikio ya wachezaji katika michuano mbalimbali ya Ulaya".

Miaka iliyopita, mashabiki walikuwa wakichagua wachezaji pamoja na mifumo, ambapo miaka mitano kati ya sita iliyopita ulitumika mfumo wa 4-3-3 na mwaka 2017 ulitumika mfumo wa 4-4-2.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma