Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Mwaka wa 'Panya' ni wa mafanikio' - Simbachawene

Sunday , 19th Jan , 2020

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, George Simbachawene, amesema kuwa Mwaka Mpya wa Panya ulioadhimishwa usiku wa kuamkia leo Januari 19, 2020, utakuwa na mafanikio kwa Taifa, hii ni kutokana na uwepo wa mahusiano mazuri kati ya Tanzania na China.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, George Simbachawene.

Waziri Simbachawene ameyabainisha hayo wakati wa hafla ya kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kichina uliopewa jina la mwaka wa Panya, ambapo kwa mwaka jana waliuita mwaka wa Nguruwe.

"Mwaka huu wa Panya kwa mila za Kichina ni mwaka ambao mnausherehekea huku mkitafakari mliyoyafanya mwaka uliopita, na mimi naamini kwa kuwa Panya ni mnyama mjanja sana, naamini Mwaka huu utakuwa wa mafanikio makubwa kati ya Tanzania na China" amesema Waziri Simbachawene.

Kwa upande wake Balozi wa China Nchini Tanzania, Wang Ke, amesema kuwa Serikali ya nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Tanzania katika ukuzaji wa maendeleo na kwamba katika kipindi cha Mwaka huu mpya, wataendeleza mikakati ya kupunguza umasikini pamoja na kujenga jamii yenye uchumi imara.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP