Mbwana Samatta na Waziri Mwakyembe
Waziri Mwakyembe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV na EA Radio Digital ili kupata kauli ya Serikali kuhusiana na hatua aliyofikia Mbwana Samatta.
Mwakyembe amesema kuwa "hakika kama Serikali tumefurahi kama walivyofurahi Watanzania wote, tunampongeza sana Samatta kwa juhudi zake najua hakubahatisha, ila kwa nidhamu ya hali ya juu, na hiki ndiyo kinawakwamisha vijana wengi wa Kitanzania mtu akikupa safari mbili unajiona umemaliza." - Waziri Mwakyembe
Tazama video kamili hapo chini