Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makonda apewa msaada wa Ndoo 500 za rangi 

Tuesday , 21st Jan , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amepokea msaada wa ndoo 500 za rangi kutoka Billion Paints kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa wanafunzi zaidi ya 5,000, walioshindwa kujiunga na kidato cha kwanza kutokana na uhaba wa madarasa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

Akizungumza leo Januari 21, 2020, Makonda amekishukuru kiwanda hicho kwa kuamua kuunga mkono juhudi za Serikali, katika uboreshaji wa sekta ya elimu nchini.

"Mchango huu ni muhimu kwa sababu, Rais wetu anatoa elimu bure na kwenye Mkoa wetu takribani watoto 5,970 katika wilaya moja tu ya Temeke, walikosa madarasa na sasa tupo kwenye ujenzi wa madarasa 381, hivyo tuwashukuru wazawa kwa kuitikia mwito wa elimu, ndoo 500 zitakuwa ni mchango mkubwa sana ambao hauwezi kusahaulika" amesema Makonda.

Waziri wa TAMISEMI Seleman Jafo, aliwaagiza Wakuu wa Mikoa wote nchini kuhakikisha hadi kufikia Februari 28, 2020, wahakikishe wamekamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa ili ifikapo Machi 1, watoto waliokosa masomo kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa, waanze masomo yao.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi