Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DSTV yaja na tia vitu pata vituz

Tuesday , 21st Jan , 2020

Kampuni ya Multichoice Tanzania DSTV, imetangaza kampeni ya ofa yao mpya inayokwenda kwa jina la tia vitu pata vituz, ambayo itamrahisishia maisha Mtanzania na mteja wa huduma zao.

Kutoka kushoto pichani ni Mkuu wa kitengo cha masoko Multichoice Tanzania Baraka Shelukindo, msanii wa filamu na muziki Jacqueline Wolper, Dully Sykes na mkuu wa kitengo cha thamani kwa wateja Hilda Nakajumo

 

Ofa hiyo imezinduliwa rasmi siku ya leo Januari 21, 2020, Jijini Dar es Salaam, na kwamba mteja wa kifurushi cha Bomba, akilipia shilingi 19,000 atapatiwa nyongeza ya kifurushi cha Family chenye thamani ya shilingi 29,000.

Akizungumza mbele ya waandishi wa habari Hilda Nakajumo, ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Thamani kwa wateja kutoka Multichoice Tanzania ameeleza kuwa,

"Mteja wetu wa kifurushi cha bomba akilipia shilingi 19,000 anapatiwa kifurushi cha family chenye thamani ya shilingi 29,000 bure ndani ya mwezi mzima, ofa hii tuliianza Januari 15 na tumeona maendeleo yake ni mazuri, lakini tumewaita wadau wetu wa habari ili waweze kutufikishia kwa wingi zaidi kwa  watanzania wengine wajue ili wanufaike kwa pamoja" amesema Hilda.

Aidha Mkuu wa Kitengo cha Masoko, Baraka Shelukindo, ameongeza kusema "Tia vitu pata vituz ni muendelezo wa mambo ambayo tumekuwa tukiyafanya siku zote kuangalia wateja wetu, watanzania wenzetu kwamba tunawapa ahueni au vitu gani vizuri  ili waweze kuishi kwa furaha"

HABARI ZAIDI

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya