Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Marufuku kumtenga mgonjwa wa Ukoma' - Waziri Ummy

Saturday , 25th Jan , 2020

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Ummy Mwalimu, amekemea watu wanaowatenga watu wenye ugonjwa wa Ukoma, kwakudhani kwamba wanaweza kuwaaambukiza kwa kusogeleana kitendo ambacho si kweli kwa mujibu wa wataalamu wa afya.

Waziri Afya Ummy Malimu akiwa na DC wa Dodoma Mjini Patrobasi Katambia lkatika Kijiji cha Msamalia ambacho wanaishu watu wenye Ukoma

Ameyasena hayo leo mkoani Dodoma katika Kijiji cha Msamalia ambapo ipo kambi ya wagonjwa wa Ukoma na kusema asilimia 50 ya wagonjwa wa ukoma hupatwa na ugonjwa wa Sonona kutokana na kunyanyapaliwa na jamii.

Kwa upande wake Bibi Beatrice ambaye anaishi kwenye kambi hiyo ya waathirika wa ugonjwa wa Ukoma ameishukuru Serikali kwakuwakumbuka kwa kuwapelekea vyakula.

Kesho ni siku ya Ukoma duniani na kauli mbiu inasema kuwa 'Tuthamini haki utu wa waathirika wa Ukoma, kwa kutokomeza ubaguzi unyanyapaa na chuki'

HABARI ZAIDI

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP