Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jibu la Manara, goli la Bocco linalolalamikiwa

Wednesday , 5th Feb , 2020

Kelele zimeendelea kuibuliwa katika michezo ya vigogo Simba na Yanga katika Ligi Kuu Tanzania bara msimu huu kutokana na aina ya magoli yanayofungwa.

Haji Manara na wachezaji wa Simba

Kesi hizo hizo zimekuwa nyingi kuelekea kwa klabu ya Simba, ambapo katika mchezo wa jana, Februari 5, Simba ilishinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania huku bao la kwanza lililofungwa na John Bocco likionekana kulalamikiwa kuwa ni la kuotea.

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara amejitokeza na kuzungumzia suala hilo katika ukurasa wake wa Instagram, akiwajibu wanaolalamikia goli hilo.

Simba inaendelea kuongoza ligi kwa pointi 50 mpaka sasa, baada ya kucheza michezo 19 iliyocheza, nafasi ya pili ikifuatiwa na Azam FC yenye pointi 37 na Namungo FC katika nafasi ya tatu kwa pointi 31. Wapinzani wao Yanga wako nafasi ya nne kwa pinti 31, baada ya michezo 16.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala