Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt. Mwakyembe apigilia msumari sakata la waamuzi

Thursday , 6th Feb , 2020

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa siku tatu kwa Baraza la Michezo nchini BMT kufuatilia kwa ukaribu malalamiko yote ya wadau wa soka katika ligi kuu na ligi zingine.

Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe

Waziri Mwakyembe amefikia hatua hiyo baada ya kupokea malalamiko mengi kutoka kwa wadau wa soka kutokana na kile kinachoendelea katika Ligi Kuu Tanzania bara na Ligi Daraja la Kwanza bila ya majibu yoyote kutoka kwa wahusika.

Akizungumza baada ya kutoa agizo hilo, Waziri Mwakyembe amesema, "tumepata malalamiko siyo ya waamuzi pekee, ila hata kwa mambo mengine mfano timu inasahaulika kwenye ratiba na mambo mengine na wahusika hawachukui hatua, serikali haiingilii soka lakini yakizidi lazima tuingie tutoe muafaka".

"Tukiamua tucheze soka tucheze soka, serikali ya awamu ya 5 siyo ya ubabaishaji, wadau wanaisumbua Wizara kutuletea barua kila siku. Nimeiagiza BMT wakae wajue kuna nini huko, wakishindwa kupata muafaka. Mimi mwenyewe nitaingilia kati".

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara pia amezungumzia kuhusiana na mwenendo wa waamuzi nchini, amesema kuwa matukio hayo hayapo kwa Simba pekee kama baadhi ya watu wanavyodai.

"Haya maamuzi hayafanyiki kwenye mechi ya Simba tu, jambo la jana lingetokea kwa Simba watu wangesema Simba wanabebwa... lakini kwakuwa imetokea kwa Yanga wanasema ni makosa ya mwamuzi. Lazima mjue kuwa waamuzi ni binadamu, inawezekana uwezo wao ni mdogo au ni makosa tu", amesema Manara.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma