Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Steve Nyerere amvaa tena Peter Msigwa

Friday , 7th Feb , 2020

Msanii maarufu wa filamu hapa nchini Steve Nyerere, ametangaza nia yake ya kugombea Ubunge katika jimbo la Iringa mjini baada ya kupokea maombi mbalimbali kutoka kwa vijana wenziye pamoja na marafiki.

Kushoto pichani ni msanii wa filamu Steve Nyerere, kulia ni Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa

Steve Nyerere ametangaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, ambapo ameandika.

"Iringa ya leo ni maendeleo kwanza na inahitaji vijana wachapakazi, rasmi nitagombea Ubunge Iringa Mjini ni haki yangu kurudi nyumbani, siku ya Jumatano nitakuwa na kikao cha ndani na vijana wa Iringa ahsante" amesema Steve Nyerere.

EATV & EA Radio Digital, imefanya mawasiliano na msanii huyo wa filamu na ameeleza kwa kina kwa nini ameamua kugombania Ubunge Iringa Mjini ambapo amesema,

"Nina dhamira ya kweli ya kugombania Ubunge katika Mkoa wangu, naijua vizuri Iringa kuliko watu walivyoisoma, hatutaki tena kuwatuma watumishi wazee ambao wanatafuta pesa ya pensheni, tunataka vijana wenye kuijua Iringa na lazima wanitume mtu kama mimi" amesema Steve Nyerere.

Pia ameendelea kusema "Mimi ni mkubwa najulikana nchi nzima na Afrika Mashariki yote, huwezi kunifananisha na Peter Msigwa anayejulikana mwisho Tosamaganga na Mahenge, nina uwezo na juhudi, labda aje kuniomba msamaha na anatapatapa anataka kushindana na watu na wake za watu atarudi kwenye Uchungaji".
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi