Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri ang'aka Mamilioni kutumika kulisha wafungwa

Thursday , 13th Feb , 2020

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Masauni, amelitaka Jeshi la Magereza mkoani Arusha, kujitahmini na kujirekebisha baada ya kuzalisha kiasi kidogo cha mahindi na maharage, hali inayopelekea Serikali kuendelea kutumia kiasi kikubwa cha fedha kununua chakula cha wafungwa.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hmad Masauni

Masauni ameyasema hayo alipotembelea Gereza Kuu la Arusha, ambalo ni moja kati ya Magereza kumi ya kimkakati nchini, yaliyoteuliwa kutekeleza agizo la Rais Dkt John Magufuli la kutaka jeshi hilo lijitegemee kwa chakula kwa kutumia nguvu kazi ya wafungwa na ardhi waliyonayo badala ya kutegemea bajeti kutoka serikalini.

"Gharama za kununua magunia 3,500 ya Mahindi na Maharage, utakuwa unahitaji zaidi ya milioni 840 fedha ambazo zinaweza kutumika kulisha wafungwa, hoja ya ukame sioni kama ni ya msingi, wakati kuna mifumo ya umwagiliaji ambayo gharama zake hazizidi milioni 326, kwahiyo mmeshindwa kutumia milioni 326 kwa mara moja ili kuokoa milioni 840 kwa kila mwaka" amesema Waziri Masauni.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ