Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Billnass ashindwa kujizuia kwa Nandy

Friday , 14th Feb , 2020

Kila ifikapo Februari 14 ya kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya wapendanao maarufu kwa jina la Valentine Day, ambapo watu hutumia siku hii kama kuzidisha upendo na thamani kwa wapenzi wao.

Picha ya Billnass kushoto, kulia ni Nandy na rafiki yake akiwa na sare za mwanafunzi

Moja ya njia hizo ambazo watu wanafanya kwa wapenzi wao katika siku hii ni vitendo zaidi kama kupeana zawadi, kupiga picha za kumbukumbu, kwenda matembezi na mwenza wako au kupostiana katika mitandao ya kijamii ili kuzidisha upendo zaidi kwao.

Kwa upande wa msaniii Billnass yeye ameonesha kunogesha mahaba kwa kupost picha ya zamani ya Nandy akiwa na mavazi ya sare za mwanafunzi, halafu akaandika neno la Kiingereza, ambalo kwa lugha ya kiswahili linasomeka kama "isiyo na thamani", kisha akaweka alama ya kopa.

Inasemakana wawili hao wamerudiana tena baada ya siku za hivi karibuni, kuonekana wakiwa pamoja usiku na kupostiana katika mitandao ya kijamii hasa wa Instagram, hali ambayo inawapa maswali mengi mashabiki zao japokuwa wao wamekuwa wanakana kwamba hawapo kwenye mahusiano.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi