Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakama yahoji upelelezi kesi ya Tito Magoti

Wednesday , 19th Feb , 2020

Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, Janeth Mtega, ameutaka upande wa mashtaka kueleza ni wapi umefikia upelelezi wa kesi inayomkabili Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), Tito Magoti na mwenzake Theodory Giyan.

Theodory Giyan na Tito Magoti wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hakimu Mtega amehoji suala hilo leo Februari 19, 2020, wakati kesi hiyo ilipofikishwa mahakamni hapo kwa ajili ya kutajwa na kusema kuwa upande wa mashtka unapaswa kuheshimu amri ya Mahakama sio kila mara wadai upelelezi wa shauri hilo haujakamilika.

Wakili Mtega ameeleza kuwa mnamo Februari 5, 2020, Mahakama hiyo iliutaka upande wa mashtaka wakirudi tena waeleze upelelezi wa shauri hilo ulipofikiwa kwa lengo la kujua unakwenda mbele au umesimama.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 04, 2020.

Tito na mwenzake Theodory wanakabiliwa na mashtka matatu, ikiwemo kushiriki genge la uhalifu, kumiliki programu ya kompyuta pamoja na utakatishaji wa fedha shilingi Milioni 17, makosa ambayo wanadaiwa kuyatenda kati ya Februari 1 na Disemba 17, 2019 katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.

 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi