Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DSTV yaja na ofa mpya

Tuesday , 3rd Mar , 2020

Kampuni ya Multi Choice Tanzania DSTV, wamezindua kampeni yao mpya ya Jiongeze Tukuongezee, ambapo watajea wake wataweza kulipia kifurushi  cha juu na kuongezewa kinachofuata.

Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa DSTV Ronald Baraka Shelukindo (kulia) akiwa na Yusuph Mlela wakati wa uzinduzi wa Kampeni hiyo.

Akiongea na Waandishi wa Habari katika uzinduzi huo uliofanyika ofisi za DSTV Kinondoni Dar es salaam, Mkuu wa kitengo cha thamani kwa wateja, Hilda Nakajumo amesema,

'Mteja ukiwa na kifurushi cha Bomba ukalipia cha Family unaongezewa mpaka kifurushi cha Compact na ukiwa na Family ukalipia Compact unaongezewa Compact Plus na ukiwa Compact ukalipia Compact Plus unapelekwa kifurushi cha Premium ambapo utaweza kuweza kushuhudia michezo yote duninia na burudani nyingine nyingi zikiwemo tamthilia'.

Mapema leo wakati wa uzinduzi wa kampeni ambapo yalifanyika matembezi

Naye Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa DSTV Ronald Baraka Shelukindo, amesema huu ni mwendelezo wa ofa zao mbalimbali, huku akiwataka watu kuchangamkia fursa hiyo ndani ya mwezi Machi.

Kwa upande wake Balozi wa DSTV muigizaji Yusuph Mlela amesema ubora wa ofa hiyo unawagusa moja kwa moja mashabiki zake na watanufaika na kuweza kutazama tamthlia aliyoshiriki ya Sarafu ambayo inarushwa kupitia chaneli ya Maisha Magic Bongo.

Tazama Video zaidi hapa chini

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa