Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Juma Kaseja kuipa KMC mtelezo kwa Yanga

Thursday , 12th Mar , 2020

Klabu ya KMC inatarajia kushuka dimbani leo dhidi ya mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara.

Juma Kaseja

Kuelekea mchezo huo, Kaimu Mtendaji Mkuu wa klabu ya KMC, Walter Harrison amesema kuwa timu yake imejiandaa vizuri kutoa ushindani dhidi ya Yanga kutokana na kujiamini kwa wachezaji wake.

"Katika mechi mbili za mwisho timu yetu imepata matokeo, dhidi ya Mbao FC na JKT Tanzania, kwahiyo sasahivi wachezaji wanajiamini kuelekea mchezo wa leo", amesema Walter.

Kuhusu urejeo wa mlinda mlango Juma Kaseja, Walter Harrison amesema, "Kaseja bado yupo majeruhi lakini anakaribia kurudi langoni. Hajaanza mazoezi pamoja na timu, wiki za hivi karibuni atarejea rasmi lakini atakuwepo kwenye benchi la ufundi katika mechi zetu kutoa hamasa kwa wachezaji".

KMC ipo katika nafasi ya 18 ya msimamo wa ligi, ikiwa na jumla ya pointi 27 katika michezo 27 huku Yanga ikiwa katika nafasi ya tatu na pointi 50.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi