Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamke aliyejifungia 'Karantini' akamatwa

Monday , 16th Mar , 2020

Mwanamke mmoja raia wa Kenya amekamatwa na polisi nchini humo baada ya kugundulika amejifungia Karantini mwenyewe katika hoteli moja baada ya kurejea Machi 3, 2020 akitokea nchini Ujerumani.

Mshukiwa akiwa katika vipimo

Kwa mujibu wa mtandao wa Kenyan, mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 54, alijifungia katika hoteli moja mjini Machakos akihofia kuwa na virusi vya Corona, baada ya majirani kulalamika juu ya tukio hilo na polisi kuchukua hatua ya kumkamata.

Afisa wa afya katika Mji wa Machakos, Ancent Kituku amethibitisha kuwa mshukiwa huyo pamoja pamoja na mwongozaji watalii aliyeambatana naye walipimwa na maafisa wa afya, ambapo hawakukutwa na virusi hivyo.

Hali hiyo inatokea baada ya tahadhari kubwa nchini humo kufuatia kupatikana kwa watu watatu wenye virusi hivyo, wawili kati yao wamegundulika baada ya kugusana na mgonjwa wa kwanza.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari