Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkude kutojiunga kambini Stars, kocha azungumza

Tuesday , 17th Mar , 2020

Kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinaendelea na mazoezi Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya AFCON dhidi ya Tunisia na michuano ya CHAN nchini Cameroon.

Jonas Mkude

Jumla ya wachezaji 35 waliitwa kujiunga na Taifa Stars katika mchezo huo na wachezaji wengi wamewasiri kambini isipokuwa wachezaji wa Yanga pamoja na kiungo wa klabu ya Simba, Jonas Mkude ambaye hakuna taarifa rasmi ya kwanini hajajiunga na kambi.

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Etienne Ndayiragije amesema kuwa hana taarifa rasmi kwanini mchezaji huyo hajawasiri kambini na yeye anasubiri taarifa kujua alikuwa wapi.

"Wachezaji ambao hawajafika ni wengi sio Jonas Mkude peke yake, wapo wa Yanga pamoja na wengine wanafika leo jioni lakini Jonas tatizo ni kwamba wachezaji wenzake wamefika yeye hajafika", amesema Ndayiragije.

"Alisema anakwenda Morogoro lakini hatujawa na uhakika aliko pamoja na sababu za kwanini hajafika, lakini kuna msemaji na wale wanaohusika watawapa taarifa. Mimi siwezi kuliongelea jambo ambalo sijalijua vizuri", ameongeza.

Kwa mujibu wa taarifa ya Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF, mchezo huo wa kuwania kufuzu AFCON kati ya Taifa Stars dhidi ya Tunisia umeahirishwa kutokana na tishio la virusi vya Corona huku pia michuano ya CHAN iliyotakiwa kufanyika nchini Cameroon kuanzia Aprili 4 -25, imeahirishwa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala