Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichojiri kwa dereva tax aliyembeba Isabella 

Thursday , 19th Mar , 2020

Dereva wa tax aliyembeba mgonjwa wa kwanza wa Virusi vya Corona mkoani Arusha, sampuli ya vipimo vyake kutoka maabara, zimeonesha kuwa hana maambukizi ya virusi hivyo.

Msemaji wa Wizara ya Afya wa masuala ya Corona Mkoa wa Arusha, Dkt Janeth Mghamba

Taarifa hiyo imetolewa leo na Msemaji Mkuu wa Wizara ya Afya wa mambo yote, yanayohusiana na Ugonjwa wa Corona kwa upande wa Mkoa wa Arusha Dkt Janeth Mghamba na kusema kuwa, Serikali ilichukua juhudi za makusudi kabisa za kuhakikisha zinawapata wale wote waliokutana na dereva huyo na kuwafanyia vipimo.

"Waliokuwa wakifuatiliwa ni 27 pamoja na dereva, sampuli zao zote zilichukuliwa na zote zimeonekana hazina Virusi vya Corona na majibu haya yamechukua muda kwa sababu vipimo hivi vinaangaliwa zaidi ya mara moja na tumejiridhisha kwa kina baada ya kuviangalia mara tatu, bado tutaendelea kuwa nao kwa muda wa siku 14" ameeleza Dkt Janeth.

 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari