Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morrison ataka kuwachanganya mashabiki wa Yanga

Friday , 20th Mar , 2020

Nyota maarufu ndani ya klabu ya Yanga hivi sasa, Bernard Morrison amesema kuwa ana vitu vingi vya kufanya kwa mashabiki wa klabu hiyo ili kuwapa kile kitu wanachokitaka.

Bernard Morrison

Amesema hayo kufuatia sapoti kubwa ambayo amekuwa akioneshwa na mashabiki wa Yanga tangu alipojiunga na nayo katika dirisha dogo la usajili mwezi Januari.

Morrison amesema kuwa alipokuwa akicheza soka nchini Congo DR na Afrika Kusini amejifunza vitu vingi ambavyo akivifanya, mashabiki watampenda kwa kiwango kikubwa zaidi na kwamba baada ya muda atavionesha vitu hivyo.

"Nilipokuwa Orlando Pirates ya Afrika Kusini nilijifunza vitu vingi sana kutoka kwa wachezaji wenzangu hasa kuhusu mitindo ya uchezaji na nafikiri nina vingi vya kuonesha lakini kwanza kwa sasa nataka kufunga magoli", amesema.

"Najua wanapenda ninavyofanya na mimi nataka nifanye zaidi kwa ajili yao kwa sababu wanakuja nyumbani kufurahia", ameongeza.

Kuhusu tetesi za kuhusishwa na klabu ya Simba, Morrison amesema kuwa yeye hana anachokifahamu kuhusu hilo kwani kwa sasa yupo na mkataba katika klabu ya Yanga, huku akiwashukuru amashabiki wengi ambao wamekuwa wakijitokeza kila mechi anazocheza kumpa zawadi mbalimbali.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto