Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kocha wa Yanga asema ukweli

Sunday , 22nd Mar , 2020

Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Luc Eymael amesema kuwa klabu yake haina nafasi ya kunyakua taji la ligi kuu kutokana na nafasi iliyopo katika msimamo na pointi ambazo imeachwa na Simba.

Kocha Luc Eymael na mashabiki wa Yanga

Luc Eymael amesema kuwa  kwa sasa ni lazima aseme ukweli kwamba kikosi chake hakina uwezo wa kutwaa Kombe la Ligi Kuu Bara kutokana na kuachwa pointi nyingi na Simba.

"Muda mwingine ni lazima niseme ukweli ukitazama mahali nilipo na wapinzani wangu walipo ni mbali hivyo kazi yangu kubwa ni kuwajenga kisaikolojia wachezaji ili wakati ujao sasa wawe na nguvu ya kulisaka kombe ila kwa sasa tusubiri na tuone itakuaje," amesema Eymael.

"Ukiwa kocha wakati mwingine unakuwa kwenye hali ambayo hakuna anayeweza kukuelewa kile ambacho utasema kwa mfano muda huu nikisema sina uwezo wa kutwaa kombe wengi wanaweza wakadhani nimekata tamaa hapana", ameongeza.

Simba inaongoza ligi ikiwa na pointi 71 baada ya kucheza mechi 28 huku Yanga ikiwa nafasi ya tatu na pointi 51 ikiwa imecheza mechi 27. Yanga ikizidiwa kwa jumla ya pointi 20 na Simba ambao ni mabingwa watetezi.

Ligi imesimama kwa muda wa mwezi mmoja ili kupisha hali kutulia kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona yanayosambaa duniani.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa