Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Yanga baada ya kuwasimamisha viongozi

Sunday , 29th Mar , 2020

Uongozi wa klabu ya Yanga umezungumza kufuatia barua rasmi ya kuwasimamisha baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji iliyotolewa Machi 27, 2020.

Makao Makuu ya Yanga

Kupitia kwa Afisa Habari wake, Hassan Bumbuli, Yanga imesema kuwa ni kweli kilichotokea kimeiathiri klabu na itatikisika lakini kila kitu kitakuwa sawa.

"Huu ni mtikisiko lakini ni kawaida kwa timu ya Wananchi kutokea kila kitu kitakuwa sawa na mipango inaendelea", amesema Bumbuli.

"Nadhani barua rasmi ilishatolewa na Kamati ya Utendaji, kwangu imepitia ili kuwafahamisha wanachama na mashabiki, kuhusu maelezo ya kwanini wamesimamishwa na kilichozandikwa kwenye barua ya majibu kwa GSM kamati ndiyo inafahamu", ameongeza.

Yanga iliwasimamisha viongozi wawili ndani ya klabu hiyo ambao ni Salim Rupia na Frank Kamugisha pamoja na kuridhia kujkiuzulu kwa wajumbe watatu ambao ni Rogers Gumbo, Shija Richard na Said Kambi.

Katika hatua nyingine, Kamati ya Utendaji ya Yanga iliandika barua ya majibu kwa kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa klabu hiyo, kufuatia kujitoa kuisaidia klabu kwenye masuala mbalimbali nje ya makubaliano ya kimkataba ikilalamikia kuwa baadhi ya viongozi wa klabu hawaridhishwi na jinsi wanavyofanya kazi za kiuongozi.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi