Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lema aeleza polisi walivyotaka kumdaka hotelini

Sunday , 29th Mar , 2020

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, amesema kuwa hadi sasa hajajua ni kwanini alizingirwa na polisi alipokuwa hotelini, licha ya kuwasiliana na Makamanda wa Polisi wa Mikoa husika, ambao na wao hawakuweza kumpa sababu ya msingi.

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema

Akizungumza na EATV&EA Radio Digital, Lema amesema kuwa hakuona sababu yoyote ya polisi kumzingira sehemu ya watu ya biashara, kwani ilisababisha hofu kwa wateja na wageni katika eneo hilo, hivyo ni vyema wangempigia hata simu angeweza kujisalimisha mwenyewe kituo cha polisi.

"Ni kweli nilizingirwa na polisi hotelini lakini bahati nzuri hawakufanikiwa kunikamata, lakini nilifuatilia kwa Kaimu RCO Kinondoni akaniambia tutaongea baadaye na hakuniambia chochote, na mimi nilijua labda kulikuwa na jambo ambalo walikurupuka" amesema Lema.

Machi 17, 2020, kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa CHADEMA Tumaini Makene, alizungumza na EATV Digital na kutoa taarifa za kuwa Mbunge Lema amezingirwa na Askari Polisi katika hoteli ya Regency Park iliyoko Mikocheni.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ