Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukitaka kuoa lazima uwe na kazi" -Charles Nduku

Tuesday , 5th May , 2020

Mtaalam wa masuala ya biashara Charles Nduku, amesema kuwa mwanaume yeyote ambaye anataka kuoa ni lazima awe na kazi ambayo itamuwezesha kumudu gharama za maisha na kuisimamia vyema familia yake.

Mtaalam wa Masuala ya Biashara, Charles Nduku

Hayo ameyabainisha wakati akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ cha EATV, kinachoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa na kusema kuwa moja ya sababu inayofanya mwanaume ashindwe kumudu majukumu ya familia yake ni kutokufanya kazi hivyo ni vyema kutafuta kazi ambayo itaweza kumpa kipato.

"Hata Biblia inasema kwamba, ukitaka kuoa ni lazima uwe na kazi siyo uwe umeajiriwa ila ni wajibu wa wewe kutimiza majuku ya familia yako, kazi yoyote ambayo utakuwa unaifanya na kukuingizia kipato, ni lazima uzalishe na usipofanya hivyo lazima familia itakukimbia" amesema Charles Nduku.

Aidha Charles Nduku ameongeza kuwa wanaume huwa wanajisikia vizuri sana kuhudumia wanawake zao, hivyo mwanaume akiona mwanamke ndiyo anahudumia familia huwa anajisikia vibaya.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi