Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ibraah aeleza alivyosafa miezi miwili getini

Tuesday , 19th May , 2020

EATV & EA Radio Digital, imepiga stori na msanii wa Konde Music Ibraah Tz, ambaye yupo chini ya Harmonize, na amesema kabla hajatoka alihangaika sana kumpata Harmonize ila aliishia getini kwa miezi miwili na hakumpata.

Kutoka upande wa kushoto ni Harmonize, kulia Ibraah Tz

Ibraah Tz amesema anamshukuru Harmonize kwa sababu, alimkuta hayupo vizuri na bila ya kuwa na kipaji cha kutosheleza lakini akatengenezwa hadi amefikia alipo sasa.

"Kabla ya hapo nilikuwa naendaga sana getini kwake kuomba nafasi ya kuonana naye na nikafanya hivyo kwa miezi miwili lakini sikupata nafasi hiyo, ila kuna mjomba wangu alikuwa ananisadia kunipa nauli, akajitahidi kunikutanisha na producer Bonga ndiyo nikapata nafasi ya kufika Konde Music" ameeleza Ibraah Tz

Pia Ibraah Tz ameendelea kusema kabla hajasainiwa Konde Music, ameshazunguka sana kwenye studio na wasanii wengine kutafuta msaada ila ikashindikana japo hawezi kuwazungumzia kwa sasa wasanii hao ni kina nani.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji