Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Yusuph adaiwa Milioni 200, nyumba zake kuuzwa

Friday , 22nd May , 2020

Aliyekuwa mkali wa muziki wa taarab mfalme Mzee Yusuph ameeleza kuwa ni kweli ana deni la Tsh milioni 202, na amegundua hilo baada ya miaka miwili kuchukua mkopo wa kiislam ambao baadaye umetoka kiharamu.

Aliyekuwa msanii wa taarab Mzee Yusuph

Akizungumza na eNewz ya East Africa TV, Mzee Yusuph amesema kwenye deni hilo hajala hata mia, ila anafuatilia kesi hiyo na atapata haki yake kwani ameshampata mwanasheria japo kesi imepangwa kupelekwa mahakama kuu.

"Ni kweli nadaiwa ila kuna vitu vingine vimeongezeka,  nilichokuwa nafikiria kwenye kudaiwa kwangu ni haikuwa halali kwa sababu kuna ujanja ujanja umetumika katika akaunti yangu kwa kutoka milioni 202 bila ya mimi kuhusika, nilikuwa nataka mwanasheria anayejua kucheza na hizi kesi na sio kama naogopa, hata wakiniuzia nyumba zangu sawa" ameeleza Mzee Yusuph 

"Kama ningepata mtu ambaye naweza nikamuhadithia hili jambo halafu akanaisaidia ingekuwa safi, lakini sitaki kusaidiwa pesa maana miaka hii imekuwa migumu maana nilikuwa na raha naongea hadi na Rais" ameongeza 

Zaidi tazama kwenye mahojiano hapa chini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi