Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mama yangu alinyanyaswa, mpaka amefariki "-Shetta

Saturday , 23rd May , 2020

Moja kati ya wasanii wenye maisha mazuri  hapa Bongo ni Shetta, pia kwa sasa msanii huyo anashirikiana na sekta za Serikali kufanya kazi kama msafara wa kijinsia kumtokomeza ukatili chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.

Msanii Shetta

Sasa Shetta ameisanua show ya Friday Night Live ya East Africa TV jinsi alivyopata mchongo huo wa kushirikiana na Serikali kufanya kazi kwenye sekta kama hizo.

"Watu wasichukulie hili ni tobo la kutokea unatakiwa ufanye  kwa manufaa ya jamii, kwanza nina stori ya kuwaeleza watu kwamba mama yangu alipitia manyanyaso kutoka kwenye familia kabisa mpaka amefariki 2006 alikuwa amepitia hayo mambo ambayo mimi  kama mtoto yalinisababishia matatizo na kukosa vitu vya msingi shuleni na mavazi" amesema Shetta 

Zaidi na zaidi tazama kwenye video hapa chini

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji