Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya CHADEMA kuhusu mgombea Urais

Tuesday , 26th May , 2020

Chama cha CHADEMA kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini Makene, kimesema kuwa mpaka sasa hivi hakuna tangazo lililotoka ambalo, linawapa nafasi watangaza nia za kugombea Urais ndani ya chama hicho, kuwasilisha taarifa zao kwa Katibu Mkuu wa chama hicho.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa CHADEMA, Tumaini Makene

Makene ameyabainisha hayo leo Mei 26, 2020, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio na kuongeza kuwa kwa mwanachama yeyote wa chama hicho, hata kabla ya kutangaza nia ya kugombea ni lazima atakuwa ameisoma na kuilewa katiba ya CHADEMA.

"Lakini kabla ya kuwasilisha, katika sehemu ambayo unakuwepo kunakuwa na tangazo limetoka na watu wanapeleka makusudio yao ofisi ya Katibu Mkuu, halafu process zingine zinafuata kwa mujibu wa chama, na tangazo la watu kuwasilisha nia zao bado halijatoka" amesema Tumaini Makene.

Aidha Makene ameongeza kuwa,"Tunaamini kwamba kwa mtu yeyote ambaye ni mwana CHADEMA, anafahamu utaratibu kabla ya kutangaza nia ya nafasi hiyo kubwa kwamba atakuwa amesoma Katiba ya chama, kwahiyo tunaamini kwamba hakuna mtu atakayekiuka utaratibu huo".

Haya yote yanajiri kufuatia mwanamama anayejulikana kwa jina la Dkt Mayrose Majinge, kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala