Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM aelezea mashaka yake kwa mwaka 2020/2021

Saturday , 30th May , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli , amewataka wakulima kuacha mara moja kuuza mazao yao kwa bei nafuu kwa kuwa huenda mwaka huu au ujao, hali inaweza isiwe nzuri kwani nchi nyingi za Afrika zitakumbwa na shida ya chakula kwa sababu walijifungia ndani kuogopa Corona.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Mei 30, 2020, jijini Dodoma, wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Ikulu ya Chamwino yenye ukubwa wa Hekari 8,473, na kusisitiza kuwa endapo wataamua kuuza, basi wauze kwa bei ya juu zaidi ili waweze kuiona faida ya nguvu zao.

"Niwaombe ndugu zangu wakulima tujihadhari kuuza mazao yetu kwa bei ya chini, inawezekana mwaka huu au unaokuja usiwe mzuri sana, msiuze vyakula kwa bei ya kutupa mtanunua chakula hicho kwa bei ya juu, na maeneo mengi ya Afrika na katika Dunia yatapata shida ya chakula kwa sababu waliji-lockdown wakati sisi tunalima na kama mtauza uzeni kwa bei ya juu sana, watwangeni sana" amesema Rais Magufuli. 

Aidha Rais Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa, kwa sasa Tanzania ni mahali salama baada ya Mwenyezi Mungu kuikoa na janga la Corona.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma