Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ripoti mpya ya taarifa kuhusu kifo cha George

Tuesday , 2nd Jun , 2020

Taarifa mpya kuhusu kifo cha raia George Floyd ambaye ameuliwa na polisi Derek Chauvin wiki iliyopita inaeleza kuwa, marehemu alipatwa na mshtuko wa moyo na kufeli kwa mishipa ya damu wakati alivyokamatwa na polisi huyo.

Baadhi ya waandamanaji wakishika mabango yanayoeleza kutaka haki kuhusu kifo cha George Flyod dhidi ya polisi

Ripoti hiyo imetolewa na kituo cha matibabu cha  "The Hennepin County Medical Examine" kimeongeza kusema wamegundua marehemu George Floyd siku za karibuni kabla ya kifo chake alikuwa anatumia madawa ya kulevya aina ya Methamphetamine.

Pia ripoti imeendelea kueleza kuwa aina ya sababu ya kifo chake ni mauaji, ambapo polisi alimkandamiza kwa kutumia goti lake  shingoni mwa George Floyd hadi kufariki.

Kwa upande wa mwanamichezo tajiri duniani Floyd Mayweather amejitolea kulipa huduma na gharama zote za mazishi ya George Floyd siku ya Juni 9, 2020 yenye ya thamani ya Tsh Milioni 204, kwenda kwenye miji mitatu tofauti ambayo ni Houston, Minnesota, na Charlotte nchini Marekani.

Kwa sasa polisi ambaye amefanya tukio hilo  Derek Chauvin na wenzake wanne wamefukuzwa kazi huko Minneapolis, Marekani kisha  kukabiliwa na kesi ya mauaji ya juu "First degree murder"
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma