Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dkt Shein ampongeza Rais Magufuli kwa hili

Wednesday , 3rd Jun , 2020

Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein, amempongeza Rais Magufuli kwa hatua aliyofikia ya ujenzi wa Ikulu ya Dodoma na kumtakia kila la heri katika safari yake hiyo na kuongeza kuwa hiyo ndiyo raha ya kujitawala kwakuwa inakupa nafasi ya kufanya vitu kwa uhuru.

Kushoto ni Rais wa Tanzania Dkt Magufuli, akiwa na Rais wa Mapinduzi ya Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein.

Dkt Shein ameyabainisha hayo leo Juni 3, 2020, jijini Dodoma, wakati wa kuweka udongo katika jiwe la msingi la ujenzi huo,  mara baada ya kumaliza kikao cha ndani na mwenyeji wake Dkt Magufuli, kilichohudhuriwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt Bashiru Ally.

"Huko ndiyo kujitawala, kutawaliwa sio kuzuri na anayekutawala anafanya anavyotaka yeye kwa utashi wake pale anapotaka kufanya, tunapochukua hatua ya kujitawala wenyewe tunafanya mambo kama haya makubwa kwa ajili ya wananchi, hii ni ofisi kwa ajili ya wananchi wa Tanzania" amesema Rais Dkt Shein.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi