Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bibi wa miaka 65 aolewa na mwanaye wa miaka 24

Tuesday , 16th Jun , 2020

Bibi wa miaka 65 aliyetambulika kwa jina la Mbah Gambreng amekubali kufunga ndoa na mwanaye wa kumnunua au kufikia aitwaye Ardi Waras mwenye miaka 24 huko Kusini mwa Sumatra nchini Indonesia.

Wanandoa Mbah Gambreng (65) na mumewe Ardi Waras (24)

Bibi huyo amesema walikuwa wanaishi pamoja tangu mwaka jana kipindi alipokuwa mtoto wake wa kiume, na hadi sasa ameamua kuolewa naye baada ya kuingia kwenye mahusinao, na hakutegemea kama angeweza kuchumbiwa na kufunga naye ndoa.

Aidha mzee huyo ambaye anamiliki watoto wengine watatu wa kike wa kufikia na kuwanunua ameongeza kusema, alipata mshangao baada ya kuambiwa anataka kuolewa na mtoto wake huyo.

Mtoto wake huyo ambaye amemuoa anadaiwa alilipa mahari ya Rupia 100,000 kwa pesa ya Indonesia sawa na Tsh 16,396, pia wanandoa hao walishea picha zao kwenye mitandao ya kijamii huku wakiwa wameshikana mikono na kila mmoja akifurahia kampani ya mwenzake.

Uwepo wa umri kati ya mzee huyo na mwanaye haimaanishi kama ndiyo ndoa ambayo wamezidiana kwa umri mrefu, kwani mnamo mwezi Februari  mzee wa miaka 100 alimuoa binti wa miaka 20 na kupishana tofauti ya miaka 80 hukohuko nchini Indonesia.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi