Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rekodi za Sahare All Stars na Namungi FC

Saturday , 11th Jul , 2020

Nusu fainali ya kwanza ya Azam Sports Federation Cup, inachezwa leo Saa 9:00 Alasiri uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga. 

Kikosi cha Namungo FC

Katika mchezo huo timu pekee ya ligi daraja la kwanza iliyosalia katika michuano hiyo ni Sahare All Stars ya Tanga na watakuwa wenyeji wa Namungo fc ya mkoani Lindi.

Katika hatua ya robo fainali Sahare waliitoa Ndanda fc ya Mtwara kwa mikwaju ya penati 4-3 baada ya mchezo huo kumalizika kwa sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 90.

Katika safari ya Sahare mpaka wanafika nusu fainali waliitoa Njombe mji katika mzunguko wa 64, hatua ya 32 bora waliitoa Mtibwa sugar na hatua ya 16 bora waliiondoa Panama Fc.

Namungo walikata tiketi  ya kucheza nusu fainali baada ya kuifunga Alliance fc ya Mwanza mabao 2-0 kwenye mchezo wa robo fainali. Namungo waliitoa Green Worrios katika mzunguko wa 64, hatua ya 32 bora waliifunnga Biashara united na wakaitoa Mbeya City katika hatua ya 16 bora.

Mshindi wa nusu fainali hii ya kwanza atacheza na mshindi wa nusu fainali ya pili itakayochezwa kesho kati ya Simba dhidi ya Yanga.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa