Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Simba waachane 'Maabara ya Kienyeji' " - Kindoki

Monday , 13th Jul , 2020

Shabiki kindakindaki wa klabu ya Yanga, Jimmy Shomari maarufu kama 'Jimmy Kindoki' amesema Simba wanapaswa kuachana na masuala ya kienyeji kwakuwa wanakwenda kuwa wa Kimataifa msimu ujao.

Jimmy Kindoki

Amesema hayo baada ya timu yake kukubali kipigo cha mabao 4-1 hapo jana kutoka kwa mahasimu wao Simba kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) katika Uwanja wa Taifa.

Kindoki amesema wao kama Yanga wamekubali kipigo hicho lakini wanakitafakari na watakilipa msimu ujao, lakini akiwapa rai Simba kuachana na masuala ya kienyeji uwanjani kwani yamewafanya wachezaji wa Yanga kuchoka.

"Wametufanyia roho mbaya sana jana, wamenifanya nilale na vidonge. Nimechukia na nasema Simba mna roho mbaya sana na hii tutakuja kulipa kisasi", amesema.

"Jana kuna namna ambayo Simba wamefanya uwanjani tunaita 'Maabara ya Kienyeji', wamefanya vitu vikubwa sana pale uwanjani ndiyo maana wachezaji wetu walikuwa wazito. Simba imesajili vizuri na inakwenda kimataifa lakini bado wanaendekeza hayo mambo", ameongeza.

Baada ya mchezo huo, sasa Simba inafuzu hatua ya Fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo itakutana na Namungo FC katika Uwanja wa Nelson Mandera mjini Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa na kwa maana hiyo, Yanga imekosa nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa