Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambo 5 ya kufanya kwa mtu aliyeungua moto

Tuesday , 14th Jul , 2020

Mara nyingi katika matukio ya ajali huwa kunakuwa na uhitaji mkubwa wa huduma ili kuepusha kutokea kwa madhara zaidi pamoja na kuepusha vifo.

Jeraha la moto

Moja ya matukio hayo ya ajali ni pamoja na moto ambao huwa unapelekea watu kuungua. Kupitia kipindi cha Dadaz cha EATV, Dr. Meshack Kinyuli ametoa elimu kuhusiana na mambo muhimu ya kufanya kwa mtu aliyeungua kwa moto.

Dr. Kinyuli ameanza kwa kufafanua nini maana ya jeraha la moto ambapo amesema jeraha la moto ni pale ambapo mwili hasa eneo la ngozi linakuwa na joto kuzidi kawaida, na kuyagawa majeraha ya moto kutokana na kuungua, kuunguzwa na maji au kemikali, umeme na mvuke.

"Mambo ya kuyazingatia kwa mtu aliyepatwa na jeraha lolote la moto, kwanza ni kuondoa moto eneo la tukio, pili ni kuondoa mavazi yake na vitu vingine vilivyoushika mwili wake kama mkanda na nguo lakini kama vitu hivyo vimeshikana kabisa na mwili visitolewe bali asubiriwe daktari", amesema.

"Mengine ya kuzingatia ni kuhakikisha anapumua vizuri na siwekewe mto kichwani kwani itampa ugumu kupumua. Pia mtu anayeungua moto moja kwa moja hapaswi kukimbia bali agalegale kwenye mchanga na hii ni kwa moto wa kawaida pamoja na kufunika eneo athirika kwa kitambaa chenye ubaridi", ameongeza.

Tazama hapa amelezo yote kutoka kwa Dr. Kinyuli.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja