Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinondoni kutotoa vitambulisho kwa wafanyabiashara

Friday , 17th Jul , 2020

Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam imesema haitatoa vitambulisho vya ujasiriamali kwa wafanyabiashara.

Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam imesema haitatoa vitambulisho vya ujasiriamali kwa wafanyabiashara waliopo masokoni kwa kuwa hao tayari wapo kwenye mfumo wa sheria za uendeshaji masoko katika manispaa hiyo.

Msemaji wa Manispaa ya Kinondoni Sebastiani Mhowera amelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya kuwepo kwa malalamiko ya wafanyabiashara wa soko la Kawe kulalamikia kukosa vitambulisho hivyo kwa mwaka huu.

Amesema mwaka jana walifanya makosa kwa kutoa vitambulisho hivi hadi kwa wale wafanyabiashara waliopo kwenye masoko lakini kwa mwaka huu hatutarudia kosa hilo na badala yake watavitoa vitambulisho hivyo kwa wale tu wasio na maeneo rasmi.

Kwa upande waowafanyabiashara katika soko la Kawe wameiomba serikali kuwasaidia kuwapatia vitambulisho hivyo kwa kuwa sasa wanalazimika kulipa ushuru wa shilingi 15,000 kila mwezi..

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji