Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya kibiasharazaidi yaleta chachu ICEALION

Monday , 27th Jul , 2020

Mkuu wa Operesheni wa Kampuni ya Bima ya ICEA LION, Jared Awando, amesema kampeni ya Kibiashara Zaidi iliyoendeshwa na kampuni ya EATV Limited kupitia televisheni, radio na mitandao yake kijamii imeleta mwamko chanya kwa watumiaji na wawekezaji katika soko la bima nchini.

Mkuu wa Operesheni wa Kampuni ya Bima ya ICEA LION, Jared Awando, amesema kampeni ya Kibiashara Zaidi iliyoendeshwa na kampuni ya EATV Limited kupitia televisheni, radio na mitandao yake kijamii imeleta mwamko chanya kwa watumiaji na wawekezaji katika soko la bima nchini.

Akizungumza na EATV SAA 1 katika hafla ya kuwapongeza wabia ambao ni wakala wa bima kupitia kampuni hiyo Bw. Awando amesema katika kipindi cha miezi sita wakala wameongezeka kutoka 12 wa awali hadi kufikia 45 ikiwa ni sawa na asilimia 93 hivyo kuwafanya kuwa imara zaidi katika utoaji wa huduma ya bima nchini.

Kwa upande wao wakala wa bima wabia wa ICEA LION wamesema kuwa hamasa hiyo waliipata baada ya kufuatilia EATV na East Africa Radio kupitia kampeni yake Kibiashara Zaidi na kuongeza kuwa hadi wametumia fursa hiyo kuongeza mapato pamoja na kukuza soko la ajira nchini.

Kampeni ya Kibiashara Zaidi ilikuwa na lengo la kuhamasisha na kuchochea shughuli za kibiashara nchini katika kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi kupitia biashara mbalimbali, ikiwa ni katika kuunga mkono jitihada za Serikali ya Rais Dk. John Maagufuli za kuwahamasisha Watanzania kujikwamua kiuchumi kwa kushiriki katika biashara.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa