Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya kibiasharazaidi yaleta chachu ICEALION

Monday , 27th Jul , 2020

Mkuu wa Operesheni wa Kampuni ya Bima ya ICEA LION, Jared Awando, amesema kampeni ya Kibiashara Zaidi iliyoendeshwa na kampuni ya EATV Limited kupitia televisheni, radio na mitandao yake kijamii imeleta mwamko chanya kwa watumiaji na wawekezaji katika soko la bima nchini.

Mkuu wa Operesheni wa Kampuni ya Bima ya ICEA LION, Jared Awando, amesema kampeni ya Kibiashara Zaidi iliyoendeshwa na kampuni ya EATV Limited kupitia televisheni, radio na mitandao yake kijamii imeleta mwamko chanya kwa watumiaji na wawekezaji katika soko la bima nchini.

Akizungumza na EATV SAA 1 katika hafla ya kuwapongeza wabia ambao ni wakala wa bima kupitia kampuni hiyo Bw. Awando amesema katika kipindi cha miezi sita wakala wameongezeka kutoka 12 wa awali hadi kufikia 45 ikiwa ni sawa na asilimia 93 hivyo kuwafanya kuwa imara zaidi katika utoaji wa huduma ya bima nchini.

Kwa upande wao wakala wa bima wabia wa ICEA LION wamesema kuwa hamasa hiyo waliipata baada ya kufuatilia EATV na East Africa Radio kupitia kampeni yake Kibiashara Zaidi na kuongeza kuwa hadi wametumia fursa hiyo kuongeza mapato pamoja na kukuza soko la ajira nchini.

Kampeni ya Kibiashara Zaidi ilikuwa na lengo la kuhamasisha na kuchochea shughuli za kibiashara nchini katika kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi kupitia biashara mbalimbali, ikiwa ni katika kuunga mkono jitihada za Serikali ya Rais Dk. John Maagufuli za kuwahamasisha Watanzania kujikwamua kiuchumi kwa kushiriki katika biashara.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ