Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Niliogopa kumuuliza Mwinyi eneo la kumzikia" -JPM

Wednesday , 29th Jul , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa Serikali ilikwishatenga eneo maalum la maziko kwa viongozi wakuu wa Kiserikali watakaofariki, ambapo watazikwa Dodoma, kwa kuwa ndiko yaliko Makao Makuu ya Nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, akiwa na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Julai 29, 2020, wakati wa shughuli ya mwisho ya mazishi ya Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa, ambapo amesema kuwa miaka kadhaa iliyopita Rais Mkapa kabla ya kufariki, alimfuata na kumuomba endapo ataaga Dunia, basi ataomba azikwe kijijini kwao Lupaso, ambapo aliogopa kumuuliza Mzee Mwinyi eneo atakalozikiwa kwa kuwa umri wake ulikuwa ni mkubwa zaidi.

"Kuna wakati Serikali ilipanga mahali pa maziko kwa viongozi na tulipangiwa kuwa tunazikwa Dodoma, Mzee Mkapa akaniuliza mlipanga maziko yawe Dodoma, mimi msinizike Dodoma nikasema wewe unataka wakuzike wapi akasema Lupaso, Mzee Kikwete akasema Msoga, nikaogopa kumuuliza Mzee Mwinyi kwa sababu alikuwa na miaka zaidi ya 90 na mimi nilisema nitazikwa Chato" amesema Rais Magufuli.

Aidha Rais Magufuli ameongeza kuwa, "Mkapa alipenda kwao, kwenye hili Watanzania tujifunze, Mzee Mkapa angeweza kuzikwa Dar es Salaam au Lushoto, lakini ndani ya dhamira yake alitaka azikwe mahali alipozaliwa katika kijiji cha Lupaso, najua Maaskofu mnaniangalia sana kwa sababu ninyi huwa mnazikwa kwenye makanisa". 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala