Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Alikiba naomba usinifokee kabisa" -Mbwana Samatta

Wednesday , 5th Aug , 2020

Mtanzania na mchezaji wa kimataifa wa Klabu ya Aston Villa Mbwana Samatta amemtaka msanii Alikiba asimfoke na kumtambia kuelekea kwenye mchezo wa SamaKiba utakaochezwa siku ya August 8 uwanja wa Benjamin William Mkapa.

Kwenye picha ni msanii Alikiba na mwanasoka Mbwana Samatta

Mbwana Samatta amesema amejipanga kwa ushindi kwa mara ya tatu mfululizo na mapato yatakayopatikana katika mchezo huo utapelekwa kwenye Wizara ya Elimu ili kushughulikia changamoyo ya masuala ya elimu hapa nchini.

"Timu yangu ya ushindi kama kawaida nimejiandaa kushinda kama michezo miwili iliyopita, naona figisu za marefa zimeanza lakini nina uhakika nitashinda tena kwa mara ya tatu mfululizo kwa sababu sijaona kizuizi, mimi nimemaliza maana Alikiba kaongea saa 2, Haji Manara naye kaongea saa 4, na Alikiba usinifokee kabisa nitakuchapa hata ufanye nini" amesema Mbwana Samatta 

Team Samatta amegusia timu yake itakuwa na wachezaji kama Kagere na Yondani na msemaji wake ni Haji Manara, huku Team Kiba itakuwa na wachezaji kama Ibrahim Ajib, Abdu Kiba na msemaji wake ni Official Mwalubadu.

Zaidi tazama kwenye video hapa chini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi