Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Alikiba naomba usinifokee kabisa" -Mbwana Samatta

Wednesday , 5th Aug , 2020

Mtanzania na mchezaji wa kimataifa wa Klabu ya Aston Villa Mbwana Samatta amemtaka msanii Alikiba asimfoke na kumtambia kuelekea kwenye mchezo wa SamaKiba utakaochezwa siku ya August 8 uwanja wa Benjamin William Mkapa.

Kwenye picha ni msanii Alikiba na mwanasoka Mbwana Samatta

Mbwana Samatta amesema amejipanga kwa ushindi kwa mara ya tatu mfululizo na mapato yatakayopatikana katika mchezo huo utapelekwa kwenye Wizara ya Elimu ili kushughulikia changamoyo ya masuala ya elimu hapa nchini.

"Timu yangu ya ushindi kama kawaida nimejiandaa kushinda kama michezo miwili iliyopita, naona figisu za marefa zimeanza lakini nina uhakika nitashinda tena kwa mara ya tatu mfululizo kwa sababu sijaona kizuizi, mimi nimemaliza maana Alikiba kaongea saa 2, Haji Manara naye kaongea saa 4, na Alikiba usinifokee kabisa nitakuchapa hata ufanye nini" amesema Mbwana Samatta 

Team Samatta amegusia timu yake itakuwa na wachezaji kama Kagere na Yondani na msemaji wake ni Haji Manara, huku Team Kiba itakuwa na wachezaji kama Ibrahim Ajib, Abdu Kiba na msemaji wake ni Official Mwalubadu.

Zaidi tazama kwenye video hapa chini.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala