Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vifungashio tatizo kwa wafanyabiashara

Friday , 7th Aug , 2020

Licha ya Serikali kuwezesha mikopo ya yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na watu walemavu kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kuwasaidia vijana kufanya shughuli za ujasiriamali bado tatizo kubwa limetajwa kuwa ni vifungashio vyenye ubora.

Licha ya Serikali kuwezesha mikopo ya yenye masharti nafuu kwa wanawake, vijana na watu walemavu kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kuwasaidia vijana kufanya shughuli za ujasiriamali bado tatizo kubwa limetajwa kuwa ni vifungashio vyenye ubora.

Mmoja ya kijana mjasiriamali anayejishughulisha na utengenezaji wa sabuni za mche pamoja na sabuni za maji dawa za kusafishia maliwatoni amesema wanapata wakati mgumu kusafirisha sabuni hizo umbali mrefu kutokana na vifungashio kuwa duni.

Hata hivyo amesisitiza ni vyema vijana wengi wakaacha kuilalamikia serikali na badala yake wajitokeze kujifunza mbinu ya kujisimamia wenyewe katika ujasiriamali ili kukuza vipato vyao.

Kuhusu Sera za Serikali katika biashara na viwanda amesema ni muhimu zikazingatia kuwakuza hasa wafanyabiashara wa ndani ili waweze kuwa na ushindani katika masoko makubwa na wafanyabiashara wanaotoka nje.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi