Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgombea ataja sababu ya kuchukua fomu akiwa peku

Friday , 7th Aug , 2020

Mgombe Urais kupitia chama cha Sauti ya Umma (SAU), Muttamwega Mgaywa, ametaja sababu iliyopelekea kwenda kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo akiwa peku bila viatu na kusema kuwa kitendo hicho kinaashiria utetezi wao kwa wakulima kwakuwa hakuna anayelima akiwa na viatu.

Mgombea Urais kupitia chama cha SAU Muttamwega Mgaywa (Kulia), alipowasili ofisi za NEC Dodoma peku akiwa na wenzake.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 7, 2020, mara baada ya kuwasili ofisi za NEC Jijini Dodoma, wakiwa peku hali iliyozua maswali na sintofahamu kwa watu wengi, huku wao wakitaja vipaumbele vyao kwamba lengo lao ni kumuinua mkulima kwa kuhakikisha anauza mazao yake kwa bei yenye tija.

"Sisi ni watoto wa wakulima na mkulima halimi na viatu na ndiyo mwenye shida, kuna Watanzania wengi mpaka leo hawana viatu, sisi ndiyo watetezi wa wanyonge tunataka vipaumbele vyetu viwe ni amani, upendo na umoja cha pili ni kilimo tunataka tumkomboe mkulima apate bei nzuri ya Pamba kwa 5000, Korosho 5000 na Kahawa ni 5000 kwa kilo" amesema Muttamwega Mgaywa.

Muttamwega Mgaywa pamoja na mgombea mwenza Satia Mussa wamejitokeza leo katika ofisi za Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma kuchukua fomu za uteuzi wa urais kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao wa mwezi Oktoba mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala