Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

LATRA yaagiza wamiliki mabasi ya masafa marefu

Tuesday , 11th Aug , 2020

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini nchini (LATRA) imewataka wamiliki wa mabasi ya masafa marefu kuweka utaratibu sahihi utakaosaidia kuondoa usumbufu kwa abiria wao pamoja na wamiliki.

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini nchini (LATRA) imewataka wamiliki wa mabasi ya masafa marefu kuweka utaratibu sahihi utakaosaidia kuondoa usumbufu kwa abiria wao pamoja na wamiliki.

Akizungumza na EATV Meneja Leseni Barabara (LATRA) Leo Ngowi amesema hatua hiyo inakuja baada ya kuanzishwa mfumo wa ukataji wa tiketi kwa njia ya mtandao ambao unalengo la kuondoa upotevu wa mapato kwa wasafirishaji pamoja na kuondoa mlolongo wa kufuata tiketi katika vituo vya mabasi.

Ngowi amesema kuwa baada ya utafiti wa muda mrefu walibaini kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa abiria, kuongeza kuwa kwa sasa mfumo huo utasaidia upatikanaji wa taarifa muhimu ikiwemo kudhibiti upotevu wa mapato ya serikali na kuwezesha wasafirishaji kukopesheka kutokana na taarifa za miamala hivyo kuongeza uwekezaji.

"Abiria anapotaka kusafiri anaingia kwenye vituo vikubwa vya mabasi na mara nyingi kumekuwa na kero nyingi ikiwemo wamiliki kupoteza fedha ndyingi kwahiyo kwa kutumia mfumo huu hilo tatizo halitakuwepo na lingine ni kuweka takwimu sahihi ya idadi ya mabasi na mapato yanayopatikana" amesema Ngowi

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ