Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia maadili

Monday , 17th Aug , 2020

Watumishi wa Umma wametakiwa kufuata maadili na miongozo iliyopo Kikatiba pindi wanapotoa huduma kwa wananchi ili kupusha migongano ya kimaslahi ambayo hupelekea migogoro katika maeneo ya kazi.

Jaji Mstaafu Harold Nsekela Kamishna wa Maadili, Ofisi ya Rais Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma.

Hayo yameelezwa na Kamishna wa Maadili, Ofisi ya Rais Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela wakati akifungua mafunzo kwa wafanyakazi wa tume ya maadili ambao watakuwa ndio wawasilisha mada katika vyombo vya habari ili kutoa elimu kwa wananchi ipasavyo.

Amesema kuwa lengo la mafunzo hayo      ni kuongeza uelewa namna ya kuepuka mgongano wa maslahi katika utumishi pamoja na kuimarisha njia na mbinu za uwasilishaji mada kwa vyombo vya habari.

“Unaweza ongea kitu kwa nia nzuri ila namna unavyoliwasilisha kwa Umma likaleta madhara hasi, kwahiyo kupitia mafunzo haya mtaelekezwa namna ya kuwasiliana”, amesema Jaji Nsekela.

Ameongeza kuwa” Ilani ya Chama tawala 2015 imeagiza na imeandika kuhusiana na hili suala la kuepuka migongano ya maslahi hivyo linapaswa kutekelezwa kwa vitendo”.

Mafunzo hayo kwa wafanyakazi wa tume ya maadili yatafanyika kwa siku tano lengo likiwa ni kuwajengea uwezo kabla ya kuwapatia mafunzo viongozi wa Umma.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala