Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Yusuf asimulia walivyoanza kula wali

Friday , 21st Aug , 2020

Mfalme wa muziki wa Taarab nchini Mzee Yusuf, amesema kuwa alipojiunga na Bendi ya East Africa Melody Taarab akiwa mpiga kinanda, ndiyo kipindi ambacho alianza kuwa na uhakika wa yeye na familia yake kula wali kwa kuwa alianza kulipwa 1500.

Mzee Yusuf

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 21, 2020, wakati wa mahojiano maalumu na kipindi cha DADAZ cha East Africa Television na kuongeza hata kielime yeye aliishia kidato cha pili.

"East Africa Melody mimi nimeanza kula kwa kulipwa 1,500, nimeenda pale nikiwa mpiga kinanda lakini nilikuwa nabeba zile Speaker za pale, kila siku tukipiga show 4 napata hela ya kununua Mchele kilo Tano napeleka nyumbani, uhakika wa kula wali ndiyo nilianza kuupata kipindi hicho", ameeleza Mzee Yusuf.

Aidha Mzee Yusuf akatoa neno kwa wale wanaodhani ana njaa, "Watu wanasema huyo ana njaa ndiyo maana amerudi kuimba, kiukweli njaa tunayo sote, kama kweli wanasema hakuna njaa na anayefanya kazi ndiyo ana njaa basi sawa wao waswali tu na walale, mimi naswali na nimejiongeza na napiga na muziki wangu, sijasoma mimi nimeishia Form 2 nikaacha hii ndiyo kazi yangu", ameongeza.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi