Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ilala yajinasibu utekelezaji miradi ya maendeleo

Tuesday , 8th Sep , 2020

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jummanne Shauri amesema kukamilika kwa miradi ya kimkakati katika Manispaa hiyo ikiwemo Machinjio mpya ya kisasa inayojengwa Vingunguti kunatarajiwa kutoa ajira za kudumu zaidi ya 200 na watu wengine zaidi ya 3,000 kushiriki katika nyanja mbalimbali.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jummanne Shauri akiwa katika moja ya matukio muhimu picha na maktaba.

Hii leo Eatv imefika ofisini kwake na kufanya mazungumzo juu ya namna miradi ya kimkakati itakavyo wanufaisha makundi mbalimbali mkurugenzi huo emeelezea jinsi wanavyotarajia kuanzisha viwanda vidogo vidogo vilivyolenga kunufaisha makundi mbalimbali.

Wakati huo huo Bw Shauri amesema kwa muhula huu wa kwanza unaokwenda kuishia Manispaa inatarajia kutoa shilingi bilioni moja kwa ajili ya mikopo rahisi kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo hadi kufiki sasa vijana wengi wamenufaika kwa mikopo ya bodaboda na bajaji huku vikundi vingine vilipewa basi pamoja na gari ya kuchakata taka taka.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma